iqna

IQNA

magaidi wakufurishaji
Ugaidi
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Yemen inayoongozwa na Harakati ya Ansarullah imelaani kitendo cha magaidi walifurishaji wa Al Qaeda kubomoa msikiti wenye umri wa miaka 700 katika mkoa wa Al Hudaydah nchini Yemen.
Habari ID: 3475486    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/10

TEHRAN (IQNA)- Watu 69 wameauwa katika shambulio lililofanywa na magaidi wakufurishaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3472853    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/10

TEHRAN (IQNA) -Watu 26 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya hoteli moja kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3472041    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/13

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wa kundi la Al Shabab wameua watu 16 katika hujuma ya kigaidi iliyojiri leo Jumamosi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3471781    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/22

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopuingua sita wamepteza maisha na Madrassah ya Qur'ani kuharibiwa katika hujuma ya kundi la kigaidi la Al Shabab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3471658    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/03

Waziri wa Usalama Iran Mahmoud Alavi amesema magaidi wakufurishaji waliokamatwa hivi karibuni walipanga kutekeleza mashambulizi katika maeneo 50 kote Iran.
Habari ID: 3470409    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/22